Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, January 11, 2012

Kila kitu kikubwa

Kipofu aliagiza bia wakamletea kwenye jagi kubwa. Akanena "hee mbona kubwa hivi?"

Wa pembeni akajibu "Dar kila kitu kikubwa"
Kipofu akaomba kwenda chooni, akaingie mlango wa pili kushoto.

Kipofu akaingia mlango wa 3.
...akatumbukia kwenye bwawa la kuogelea akijua katumbukia kwenye choo akawa anapayuka kwa sauti "usiflash... Usiflash..."

No comments:

Post a Comment