Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, January 16, 2012

Malavi davi

Jamaa aliandika sms kwa mchuchu wake ifuatavyo.

Kama unatabasamu ntumie tabasamu lako.
Kama umelala ntumie ndoto uiotayo.
Kama unalia nitumie machozi yako.

Mwanadada akajibu ifuatavyo:
"nipo chooni je nitume chochote"

No comments:

Post a Comment