Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 13, 2011

5 + 5 = ?

Mwalimu aliuliza 5+5 jibu ni ngapi?
Alikataza kuhesabu vidole, basi dogo mmoja wa kiume akaingiza vidole ndani ya pensi ili ahesabu kimya kimya mwisho wa siku akaibuka na jibu "mwalimu jibu ni 11"

No comments:

Post a Comment