Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 15, 2011

Biashara matangazo

Mfanya biashara mmoja alienda kwenye mgahawa mmoja kupata mlo hali ilikuwa hivi:
Mfanya biashara: Juzi nilikuka nikapata pande kubwa la nyama, mbona leo kadogo hivi?
Mhudumu: Kwani ulikaa meza gani ulipokuja?
Mfanya biashara: Nilikaa pale penye lile dirisha kuubwa...
Mhudumu: Oh! Kawaida tunampatia mteja anaekaa pale ni sehemu nzuri ya kujitangaza mgahawa wetu.

No comments:

Post a Comment