Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 17, 2011

Kukata roho

Mwanaume mmoja kabla hajakata roho akawa anamuambia mkewe "mke wangu nikuambie kweli kabla sijafa, nimetembea na wanawake wengi, nilikudanganya nitachelewa kurudi kumbe nilikua na wanawake....."
Mkewe nae akajibu "we unadhani kwa nini nimekuwekea sumu?"

No comments:

Post a Comment