Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 14, 2011

Bomu

Vijana wawili waliokota mabomu mawili, wakashauriana wayabebe kuyapeleka ama kuyarudisha jeshini. Mmoja akauliza "je moja likilipuka?"
Mwenzake akajibu "tutadanganya tumeokota moja tu"

No comments:

Post a Comment