Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 18, 2011

Manesi na utani kwa dokta

Manesi watatu walipanga kumtania dokta wanaefanya nae kazi.
Baadae wakakutana kila mmoja kumpa mwenzake mrejesho kila mmoja kamfanyia utani gani dokta:
Wa kwanza: Mi nliweka pamba kwenye kipimo cha kusikilizia mapigo ya moyo ili asisikie.
Wa pili: Mie yangu ndio kali, nimetoboa tundu condom zake zote.
Nesi wa tatu akazimia.

No comments:

Post a Comment