Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 13, 2011

Nani chizi?

Jamaa mmoja alikua yupo bar na palikua na kelele kweli, akanyakua simu yake ya kiganjani na kumpigia rafiki yake fulani aliyekua yupo tu nyumbani. Maongezi ya jamaa yalikua hivi:

Aliepo Bar: Haloo! Haloo! Sikusikii vizuri sijui upo kwenye makelele sogea palipo na utulivu.
Aliepo nyumbani akajibu: Mimi au wewe ndio yupo penye kelele?

No comments:

Post a Comment