Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 13, 2011

Watu wawili baa

Maongezi ya watu wawili wanaume:
Jimmy: "Umesema una mtoto wa kiume sio?
Hussein: Ndio.
Jimmy: Anavuta sigara?
Hussein: Hapana.
Jimmy: Anakunywa pombe?
Hussein: Hapana.
Jimmy: Anarudi usiku?
Hussein: hapana
Jimmy: Basi mwanao mtulivu sana, ana umri gani sasa?
Hussein: Ametimiza miezi sita sasa

No comments:

Post a Comment