Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 13, 2011

Zama za ukoloni

Mwalilimu aliuliza swali darasani "tulitawaliwa toka wapi hadi wapi na wakoloni?" Mwanafunzi mmoja akajibu "enhe sina uhakika sana ila nnadhani ukurasa wa 60 mpaka wa 65"

No comments:

Post a Comment