Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 27, 2011

Huduma mbili

Jamaa mmoja alienda viti virefu, akanywa kinywaji chake kisha hali ikawa hivi:
Mteja: Bia nliyokunywa shilingi ngapi?
Mhudumu: Bia shilingi 300
Mteja: Enhe? Mbona bai rahisi ivo? Niitie boss wako.
Mhudumu: Jupo ghorofa ya juu na mke wangu...
Mteja: Anafanya nini na mkeo?
Mhudumu: Kama ninachofanya mimi kwenye biashara yake.

No comments:

Post a Comment