Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 17, 2011

Usalama uwanja wa ndege

Jamaa mmoja alikua akikokota kitoroli cha 'airport akiwa na mabegi yake huku akiwa amevaa chupi, na singland yake, ikimaanisha mkanda, suruali na shati pamoja na viatu kavishikilia.

Askari mmoja akamuuliza "vipi mbona unatembea nusu uchi?"
Ndipo jamaa akajibu "ntavaa baada ya security check zote hapa airport, kuepuka usumbufu wa vua vaa vua vaa"

No comments:

Post a Comment