Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 12, 2011

Dogo na maswali

Mtoto: Baba mbona tumbo la anti kubwa?
Baba: We nawe wajua kila kitu?
Mtoto: Hapana baba sijui kabisa.
Baba: Ok! Ni limejaa tu maji si kingine.
Mtoto: Hee! Sa mtoto si atazama kwenye maji?

No comments:

Post a Comment