Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 16, 2011

He he he...

Kijana mmoja akimsimulia mwenzake jambo: "nilipokua mdogo nilikua nikisali nipate baiskeli, baadae nkaja gundua Mungu hajaniwezesha kupata. Hivyo basi nikaiba baiskeli na kusali ili nisamehewe"

No comments:

Post a Comment