Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 13, 2011

Ndoto ya panya

Dada: Baba tangu juzi naota panya anacheza tebo tenesi.
Baba: Usiogope ni kawaida tu.
Dada: Je nifanyeje nimeze dawa au?
Baba: Ya nini wakati leo ndio Fainali.

No comments:

Post a Comment