Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 14, 2011

Bifu la majirani

Jirani 1 akimuuliza jirani wa pili "huyu mbwa wako ananikera sana, anamfuata mbwa wangu kila kukicha"
Jirani wa pili akajibu "we shida yako nini, mie nampaga condom kila siku kabla hajamfuata mbwa wako"

No comments:

Post a Comment