Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 20, 2011

Radio kwa fundi

Jamaa mmoja alipeleka radio kwa fundi, fundi akamuuliza ''nini tatizo la radio yako?''
Mwenye radio akajibu ''mtangazaji nimemsikia amesema ana mafua, itakua sijaipuliza vumbi muda mrefu kwa sababu.''

No comments:

Post a Comment