Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 14, 2011

Dogo akiomba msaada baada ya...

Katoto kavulana: Njoo haraka haraka kuna mwanaume anampiga baba angu zaidi ya dakika 20 sasa!
Polisi: Kwa nini hukuniambia awali?
Katoto: Kwa sababu baba ndio alikua anamdunda dakika chache zilizopita.

No comments:

Post a Comment