Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 13, 2011

Kaazi kweli kweli

Jamaa alipokua kwa daktari wa meno:
Mgonjwa: Dokta fasta nikatoe viatu vyoote sebuleni rafiki yangu anakuja leo home.
Dokta: Kwanini? Rafiki yako ni mwizi?
Mgonjwa: Hapana asije akavitambua viatu vyake.

No comments:

Post a Comment