Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 24, 2011

Mlevi huyu mhh

Mlevi alipiga simu polisi: Gari yangu imeibiwa dashboard, gia, staring, accelerator hata break....
Polisi kabla hawajaanza kuja akapiga tena na kusema "ooh nimekosea kumbe nilikaa kiti cha nyuma"

No comments:

Post a Comment