Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 16, 2011

Huko jela...

Jamaa mmoja aliulizwa na mwenzake wakiwa jela:
Mfungwa: Imekuwaje umeletwa humu?
Mfungwa mgeni: Nilimpata farasi.
Mfungwa: Farasi ndio uletwe jela?
Mfungwa mgeni: Ndio, nilimpata kabla mmiliki hajampoteza!

No comments:

Post a Comment