Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 16, 2011

Dawa ya kichwa

Mama mmoja mwanae alimuambia kua kichwa chamuuma sana hali ikawa hivi:
Mama: Mwanangu pole, kunywa dawa hii kitapoa tu.
Mtoto: Asante mama, dawa gani hiyo?
Mama: Hii panadol itakusaidia.
Mtoto: Itanisaidiaje wakati nikimeza inaeda tumboni badala ya kichwani sasa?

No comments:

Post a Comment