Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 23, 2011

Mke mpenda zawadi

Mke alimuuliza mumewe,"Mbona siku hizi huninunulii zawadi kama pale kabla hujanioa?" Mume akamjibu "umeniona mimi kichaa? Tangu lini mtu akampa chakula samaki baada ya kumvua!"

No comments:

Post a Comment