Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 28, 2011

Wizi wa fedha

Jamaa watatu waliona gari inakuja mbele yao ina rangi ya bank fulani si wakaiteka. Wakati wanawauliza waliomo ndani "pesa ziko wapi! Pesa zikowapi" ndipo mmoja kati ya waliomo akajibu "jamani hii ni ambulance ya benk sio gari ya kubeba hela"

No comments:

Post a Comment