Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 18, 2011

Fundi na spana...

Chizi mmoja alichukua spana na kwenda benk mlangoni akakutana na mlinzi, akamuliza "unakwenda wapi na hiyo spana?" akajibu "nakwenda kufungua akaunti"

No comments:

Post a Comment