Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 13, 2011

Mke akinena...

Mke: Nataka nikuambie kitu ila usininase kibao.
Mume: Sema tu uwe na amani.
Mke: Nina ujauzito.
Mume: Sasa ulikua unaogopa nini?
Mke: Nilisemaga kabla hujanioa kwa baba akaninasa kibao.

No comments:

Post a Comment