Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 13, 2011

Kwa Dokta

Mgonjwa: Dokta nna tatizo moja.
Dokta: Tatizo gani?
Mgonjwa: Nikionge na mtu simuoni.
Dokta: Imekutokea lini?
Mgonjwa: Kwenye simu.

No comments:

Post a Comment