Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 13, 2011

Kengere ya mlango

Mwanamke mmoja alikua anamsubiri fundi aje kumtengenezea kengele ya mlango wa nyumba yake. Zikapita siku 4 bila fundi kutokeza, akampigia simu kujua tatizo fundi kwenye simu akajibu "nimekuja kwako siku 4 mfululiza nabonyeza kengele hamna anafungua mlango."

No comments:

Post a Comment