Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 18, 2011

Gari mbele mara nyuma

Gari lilikua linaendeshwa, ghafla likawa linaenda mbele mara nyuma, mpaka mtu mmoja akamuita trafic.
Dereva wa gari akanena: Doh afathali trafic umekuja. Nimeona mti mbele nkaogopa kuugonga, mbele kidogo nkaona mti mwingine. Nkaogopa kuugonga!
Trafik akanena: Mama sio mti ni hiyo Air Freshner yako hapo umeiweka kwenye dash board.

No comments:

Post a Comment