Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 17, 2011

Matatizo kwa Dokta

Mgonjwa: Dokta nahitaji unisaidie, nna stress, hasira hovyo na watu hata sijielewi nna nini?
Dokta: Haya nielezee tatizo linalokusumbua.
Mgonjwa: Dokta we mzima? Si nshaelezea kila kitu?

No comments:

Post a Comment