Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 15, 2011

Vijiti (toothpick)

Jamaa mmoja mgeni mjini alitengewa chakula ugenini (uzunguni), meza ilipendeza msosi.
Baada ya kumaliza kula mwenyeji wake akamuuliza "kuna vijiti (toothpick) viliwepo hapa viko wapi?"

Jamaa akauliza "vile kwenye kichupa cha plastic?"
Mwenyeji akajibu "ndio ivo ivo"
Jamaa akajibu "mi nilijua vinaliwa na vyenyewe nimekula vyote"

No comments:

Post a Comment