Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 25, 2011

Siku mbaya

Jamaa mmoja alikua bar amekaa akiingalia glasi yake yenye kinywaji kwa zaidi ya nusu saa! Akatokea jamaa mmoja alikimuangalia akichofanya akaichukua na kunywa....
Mwenye bia akaanza kulia. Jamaa akamuambia "usijali takununulia bia ingine acha kulia"

Mwenye bia akaanza kunena "kazini leo nimefukuzwa, gari yangu pia imeibiwa, waleti nimeisahau kwenye taxi, nyumbanio mke wangu memfumania na house boy, na hapa umekunywa sumu yangu yote nliyotaka kuinywa......"

No comments:

Post a Comment