Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 12, 2011

Kazi

Boss mmoja akiongea na mmoja wa wafanyakazi wake kama ifuatavyo:
Boss: Tunahitaji mtu atakaefaa kwenye hii nafasi ambae ni responsible.
Mfanyakazi: Boss unaemtafuta ushampata, nikipofanya kazi mwanzoni kitu kikienda hovyo tu wananiambia mie ndio responsible...

No comments:

Post a Comment