Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 15, 2011

Kisiwa

Mwalimu aliuliza darasani "nani anaweza kuniambia kisiwa ni nini?"
Mwanafunzi mmoja akajitolea kujibu "kisiwa ni ardhi iliyozungukwa na maji pande zote kasoro moja tu"
Mwalimu akauliza "pande moja? ipi?"
Mwanafunzi akajibu "upande wa juu tu"

No comments:

Post a Comment