Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 30, 2011

Dawa bandia

Jamaa: We kwa nini unapenda nunua dawa bandia bwana?
Mnunuaji: Mi ntajuaje kama bandia au sio sasa.
Jamaa: Si unauliza.
Mnunuaji: Bwana eeh mi nanunua ivo ivo Orijino bandia.

No comments:

Post a Comment