Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 17, 2011

Mifupa mingapi?

Daktari mmoja akimuelekeza jambo mtu chumba cha daktari.
Dokta: Unajua kwenye mwili wa binadamu kuna mifupa zaidi ya 500.
Jamaa: Dokta! Shhhhh! Taratibukuna mbwa wawili wapo na wazungu hapo mapokezi....

No comments:

Post a Comment