Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 25, 2011

Mtoto wa nani?

Wakiiomba mahakama iamue nani anapaswa kuishi na mtoto.
MKE: Mtoto ni wangu nilibeba mimba miezi 9, nikajifungua na kumnyonyesha.
MUME: Akauliza; "hivi nikichomeka ATM card kwenye mashine ikatoa pesa, pesa ni za ATM au zangu niliyechomeka card?"
Hakim aliinama kwa aibu kisha mzee akapewa mtoto!.

No comments:

Post a Comment