Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 18, 2011

Jambazi kuvamia kanisa

Jambazi alivamia kanisani na bunduki akasema-haya wanaosema wanampenda Yesu wabaki humu ndani, wasiompenda watoke nje. Waumini wote kwa kuogopa kifo wakatoka nje. Ndani akabaki mchungaji na wazee wawili tu-Jambaz akamgeukia mchungaji akasema "mtumishi unaweza kuendelea na ibada, nlitaka kukuondolea wanafiki."

No comments:

Post a Comment