Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 14, 2011

Lift au kutembea?

Askari polisi wa barabarani wawili walikua wanaenda kazini:Askari wa kwanza: So tunapanda Basi au tunatembea kwenda job?Askari wa pili: Tusubiri tuone gari ya kwanza kufika....

No comments:

Post a Comment