Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 14, 2011

Wapi hela?

Babu mmoja alikua anaishi peke yake, nyumba ya nyumba yake alitamani kulima viazi ila uzee ndio shida. Mwanae pekee yupo jela angemsaidia. Hivyo basi mwanae alimuandikia barua baba ake imeandikwa hivi "Baba zile hela nimezifukia numa ya nyumba, usifukue mpaka nitoke"

Siku ya pili askari walifurika eneo kufukua fukua bila kukuta kitu, mwanae akamuandikia baba yake barua ingine akiwa jela, "baba huo ndio msaada pekee nimekupatia haya panda sasa viazi"

No comments:

Post a Comment