Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 24, 2011

Fundi kompyuta

Mteja: Fundi afadhali umekuja, laptop yangu inapata sana joto kupitiliza. Basi jamaa baada ya masaa kadhaa aliporudi akamuuliza fundi "enhe umelitatuaje tatizo?"
Fundi akajibu "nimeonelea niiweke kwenye friji ipoe kwanza"

No comments:

Post a Comment