Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 12, 2011

Kichaa kapewa mimba

Jamaa alimpa mimba binti wa kichaga, Baba mtu akapanga kumuua jamaa.
Mwanye mimba akamfata mzee na kumwambia "Mzee punguza jazba, ni kweli mi ndiye nimempa mimba binti yako na kusema kweli sitamwoa ila akizaa mwanaume nitakupa Bilioni 1, akizaa mwanamke nitakupa milioni 58 na duka kariakoo"

Mwenye mimba akanena tena: "Je ikitokea bahati mbaya mimba ikaharibika itakuwaje ?"
Mzee akajibu: Aisee baba angu itabidi umpatie nyingine hamna jinsi!

No comments:

Post a Comment