Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 14, 2011

Polisi na Dereva

Jamaa mmoja alisimamishwa na askari wa usalama barabarani:
Askari: Mzee unatambua kuwa ulikua spidi sana?
Jamaa: Ndio askari.
Askari: Unaharakia wapi?
Jamaa: Unajua nini! Mke wangu ametoroka na askari kama wewe. Sasa nikadhani ndio wewe unamrudisha.

No comments:

Post a Comment