Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 13, 2011

Tajiri wa wake

Tajiri mmoja alikuwa na wake wengi. Kudhibiti wafanyakazi wake akawawekea tego kwa wakeze ili mwanaume akitembea na mkewe naniliu inaliwa.

Aliporudi safari akafanya ukaguzi kwa wafanyakazi wake akiwafunua, kila aliyemfunua imeliwa. Wa mwisho akamkuta ipo safi basi akamsifu na kumwambia yeye ndie wa kuigwa.

Akamuuliza jina yule kijana akanyamaza na kujifanya kuongea kama bubu. Kumfungua mdomo kumbe ulimi umeliwa!

No comments:

Post a Comment