Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 14, 2011

Hii ya siku mingi

Wodi ya vichaa walichorewa kuku ukutani, wakaambiwa wamkamate! Woote wakaenda kasoro mmoja tu.
Wakamuuliza we vipi mbona hendi mkamata akajibu "shhhh nataga"

No comments:

Post a Comment