Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 8, 2011

Daktari na Mgonjwa

Mgonjwa mmoja alienda kumuona daktari wake na mazungumzo yao yalikuwa kama ifuatavyo:
Mgonjwa: Dokta mbona sipati nafuu?
Dokta: Ulifuata masharti ya dawa niliyokupatia?
Mgonjwa: Ndio, kwenye chupa yanasema "hakikisha chupa ya dawa umeifunga vizuri"
(Akimaanisha hajainywa kabisa).

No comments:

Post a Comment