Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 8, 2011

Jamaa aliopoa....

Jamaa mmoja aliopoa na mabo yalikua hivi:
Msichana: Naomba nikuambie ukweli, mimi ni malaya najiuza usiku ili nipate hela.
Jamaa akanena na yeye: Usijali nitakupatia 15,000Tsh tukimaliza...

Baada ya kumaliza hali ikawa hivi:
Jamaa: Naomba nikuambie ukweli, mimi ni dereva taxi na nitakuchaji 15,000Tsh kukurudisha nilipokutoa.

No comments:

Post a Comment