Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 9, 2011

Kuoda vinywaji

Kulikuwa na akina kaka watatu pale bar:
Wa kwanza: Mhudumu niletee juice na glass.
Wa pili: Mhudumu mie naomba fanta na tissue.
Huyu wa tatu alikua mgeni kidogo mjini hali ikawa ivi....
Wa tatu: Mhudumu mie naomba niletee tissue ya baridi na glass.

No comments:

Post a Comment