Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 8, 2011

Mume na mkewe

MUME: Vipi mpenzi leo umekula nini maana sikuacha hela ya mlo.
MKE: Tumeshindia mapera na shemeji yangu mpenzi, mimi ndio nilipanda juu ya mti.
MUME: Inamana shemeji yako alibaki chini ya mti.
MKE: Ndiyo.
MUME: Alitaka kuangalia chupi yako mi namjua mdogo wangu.
MKE: Unafikiri mi mjinga nilimshtukia nikaivua nikapanda uchi

No comments:

Post a Comment