MUME: Vipi mpenzi leo umekula nini maana sikuacha hela ya mlo. 
MKE: Tumeshindia mapera na shemeji yangu mpenzi, mimi ndio nilipanda juu ya mti. 
MUME: Inamana shemeji yako alibaki chini ya mti. 
MKE: Ndiyo. 
MUME: Alitaka kuangalia chupi yako mi namjua mdogo wangu. 
MKE: Unafikiri mi mjinga nilimshtukia nikaivua nikapanda uchi
No comments:
Post a Comment