Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 1, 2011

Pombe chakari

levi mmoja alipanda daladala usiku akielekea kwake, kwenye basi akakutana na mwanamke mcha mungu akamuambia yule mlevi "unaenda moja kwa moja motoni"
Yule mlevi akamuamrisha dereva "dereva simama nimepanda daladala sio..."

No comments:

Post a Comment